Header Ads

Serikali yakanusha tarifa ya uteuzi wa wakuu wa wilaya inayosambazwa mitandaoni.







Serikali imekanusha taarifa inayosambazwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii, kuhusu uteuzi wa wakuu wapya 10 wa wilaya na kueleza kuwa siyo ya kweli na ipuuzwe mara moja.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa hafla ya kuwaaapisha walioteuliwa pamoja na kuwapangia wilaya zao za kazi itafanyika Ikulu siku ya Jumatatu, Novemba 27, 2017.

Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa, kupitia ukurasa wake wa Twitter ameeleza kuwa taarifa hiyo haijatolewa na ikulu ila imetengenezwa na wahalifu wenye nia mbaya na serikali.

No comments