Header Ads

Idadi ya wanaohama Korea Kaskazini wakienda Korea Kusini yapungua

Idadi ya wanaohama Korea Kaskazini wakienda Korea Kusini yapunguaHaki miliki ya pichaAFP
Image captionIdadi ya wanaohama Korea Kaskazini wakienda Korea Kusini yapungua
Korea Kusini inasema kuwa idadi ya watu walio ihama Korea Kaskanizi imepungua kwa zaidi ya asilimia 10 mwaka huu.
Shirika la habari la serikali lilisema kuwa wizara ya kuwainganisha watu ya Korea Kusini, ilirekodi jumla ya watu 780 raia wa Korea Kakskazini waliowasili kati ya mwezi Januari na Agosti mwaka huu.
Korea Kaskania na China wanaaminiwa kuongeza ulinzi zaidi katika mpaka na kufanya vigumu kwa wale wanaohama kuvuka mpaka.
Zaidi ya nusu kati ya wale waliohama Korea Kaskazini mwaka huu ni wakulima, wafanyakazi wanaoaminiwa kukimbia umaskini huku asilimia tatu wakiwa ni wanajeshi na maajenti wa serikali.
Idadi ya wanaohama Korea Kaskazini wakienda Korea Kusini yapunguaHaki miliki ya pichaAFP
Image captionIdadi ya wanaohama Korea Kaskazini wakienda Korea Kusini yapungua

No comments