Header Ads

Fursa za ufadhili wa masomo kutoka SUZA

Na Paschal D.Lucas

job
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha sayansi cha Norway (NMBU) pamoja na chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kinatangaza nafasi za ufadhili wa masomo (scholarship) kwa ngazi ya shahada  ya uzamili  katika Chuo kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa mwaka wa masomo 2017/18

Kwa maelezo zaidi kuhusiana na nafasi hizo http://zanzibar24.co.tz/wp-content/uploads/2017/09/Scholarship-Opportunities.pdf

No comments