Header Ads

IGP SIMON SIRRO AMEMUAPISHA KAMISHNA WA POLIS ZANZIBAR



Leo, February 12, IGP Simon Sirro amuapisha Kamishina huyo  kwa niaba ya Rais Magufuli

February 10, Rais alimpandisha cheo Mohamed Hassan Haji  kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) na kuwa Kamishna wa Polisi (CP), na kisha kumteua kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar. 
 

No comments