Header Ads

Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza

Image result for CATHEDRAL MWANZA CATHOLIC CHURCH
Jimbo Kuu la Mwanza (kwa Kilatini "Archidioecesis Mvanzaënsis") ni mojawapo kati ya majimbo 34 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Chini yake kuna kanda ya Kanisa yenye majimbo yafuatayo: BukobaBundaGeitaKayangaMusomaRulenge-Ngara na Shinyanga.
Kanisa Kuu liko jijini Mwanza, na linaitwa la Epifania.
Image result for CATHEDRAL MWANZA CATHOLIC CHURCH

Historia

Uongozi

No comments